McEddy Elroy

Thursday, August 2, 2012

Naangalia Gari,sijawahi kuona!

Mtoto wa kijiji cha Chinugulu,wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma,akiangalia gari la Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,Daudi Mayeji.Kijiji hicho ni nadra sana kufikiwa na magari mazito kama hili,kipo karibu kilomita 150 kutoka Dodoma mjini,kinapakana na pori tengefu la Lunda -Mkwambi.

No comments:

Post a Comment