McEddy Elroy

Saturday, November 27, 2010

Moja ya jengo lenye vyumba vya madarasa Chuoni Mkwawa. Linaonekana kama jengo la utawala. lahasha.Chuo hicho hivi sasa ndiyo kwanza kimepata fedha za ujenzi wa jengo la utawala, kwa sasa Mkuu wa Chuo na wafanyakazi wote watanatumia vyumba vilivyokuwa vya madarasa ya shule ya sekondari Mkwawa kama ofisi zao na mambo mengine ya utawala.

No comments:

Post a Comment