McEddy Elroy

Thursday, October 28, 2010

UPASUAJI WAOKOA MACHO YA WATU 33 IRINGA

Mratibu wa huduma za Afya ya macho na Daktari wa macho mkoani Iringa akimpima macho mgonjwa wa macho.Picha nyingine ni muuguzi akimfunga dawa mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji na wengine ni wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa macho katika kituo cha Afya Malangali wilayani Mufindi hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment