McEddy Elroy

Tuesday, October 5, 2010

TUNADI SERA ZETU

Wagombea ubunge katika jimbo la Kalenga Mkoani Iringa kutoka kushoto na vyama vyao kwenye mabano ni John Katindasa (TLP), Rehema Makoga (Chadema) na Ismail Makuke (Jahazi Asilia) wakijibu maswali ya wapiga kura katika mdahalo wa wagombea na wapiga kura wa jimbo hilo uliofanyika kwenye ukumbi wa serikali ya kijiji.Mgombea wa CCM,Dk.William Mgimwa hakuwepo kwenye mdahalo kutokana marufuku ya CCM kwa wagombea wa ngazi zote kuhudhuria midahalo.

No comments:

Post a Comment