McEddy Elroy

Tuesday, June 7, 2011

NIMEREJEA NDUGU ZANGU NAOMBA MNIUNGE MKONO

Wapenzi wasomaji wangu wa blog hii.Naahidi kwamba kwa sasa nimerejea kwa kishindo kukuketea mambo uliyoyakosa kwa muda mrefu.Kwa takribani miezi miwili na nusu nimekuwa sipo sana hewani baada ya computer yangu kuibwa na watu ambao mpaka leo hawajulikani.
Nimejikongoja na nimenunua Computer nyingine na sasa nimerejea tena katika ulingo huu wa upashanaji na uelimishaji jamii yetu.
Twende pamoja.Tanzania yetu sote.

No comments:

Post a Comment