McEddy Elroy

Wednesday, September 22, 2010

MWAKALEBELA KATIKA MATUKIO TOFAUTI NA KIKWETE SAMORA JANA

Aliyeongoza katika kura za maoni,Frederick Mwakalebela jana katika uwanja wa Samora alishangiliwa kuliko hata Kikwete hali iliyoonesha dhahiri kwamba ni kipenzi cha wakati wa Jimbo la Iringa Mjini.Picha tatu tofauti zinaonesha Kikwete akimnadi Mwakalebelas katika ile hali ya kuvunja makundi na kutangaza rasmi kwamba anakiunga mkono Chama Cha Mapinduzi pamoja na mgombea wa Jimbo la Iringa Mjini,kupitia chama hicho,Monica Mbega.

No comments:

Post a Comment