McEddy Elroy

Tuesday, August 24, 2010


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Bomalang'ombe wilayani Kilolo wakisherehekea uzinduzi wa bweni jipya lililojengwa karibu kabisa na bweni la mabanzi walilokuwa wanatumia awali.
Bweni hili jipya lilipewa jina la 'Bweni la Miujiza' kutokana na kujengwa harakaharaka tena wakati wa mvua ili kuwaokoa wanafunzi hawa waliokuwa wanaumia kwa baridi kali hususani wakati wa usiku.

No comments:

Post a Comment