McEddy Elroy

Tuesday, August 24, 2010

HILI SIYO BANDA LA KUKU NI BWENI!

Wanafunzi wapatao 100 wa shule ya sekondari ya Bomalang'ombe wilayani Kilolo inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT) Dayosisi ya Iringa walikuwa wakilitumia 'kujisomea' usiku na wakilala humu kabla waumini wa kanisa hilo wa nchini marekani hawajatoa fedha kwa ya ujenzi wa bweni zuri. Jiulize Mwenyewe,mwanafunzi anayejisomea kwenye bweni hili na kulala humo, atafaulu mtihani wake wa kidato cha nne?.

Tafakari,Chukua hatua!

No comments:

Post a Comment