McEddy Elroy

Tuesday, August 31, 2010

LAPF YACHANGIA MFUKO WA WANAFUNZI MKWAWA


Meneja Mwandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa LAPF akikabidhi hundi ya Sh.300,000/-kwa Naibu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mkwawa-MUCE, anayeshughulikia Utawala,Professa John Machiwa.
Fedha hizo ni mchango wa LAPF katika kutunisha mfuko wa zawadi za wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao Chuoni hapo.

No comments:

Post a Comment