McEddy Elroy

Thursday, August 19, 2010

NIPENI TENA WANYALUKOLO 'BAYANGU'

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilolo,Prof.Peter Msolla (Kulia) akirejesha fomu za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuomba kuwania tena jimbo hilo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Anayepokea fomu hizo ni Msimamizi wa uchanguzi jimbo la Kilolo ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,Bosco Nduguru.

No comments:

Post a Comment