McEddy Elroy

Sunday, August 29, 2010

MWAMUZI WEBB WA UINGEREZA ALIPOCHEMSHA SAUZI


De Jong wa timu ya Taifa ya Uholanzi akimrushia daluga Alonso wa timu ya Taifa ya Uhispania.
Mwamuzi aliyechezesha mechi hiyo ya fainali kule kwa mzee wetu Madiba, muingereza Howard Webb amekiri kuwa,De Jong alistahili kadi nyekudu badala ya njano aliyompa.
Chonde chonde waamuzi, kuwenu makini ili tufaidi burudani hii ya dunia.

No comments:

Post a Comment