McEddy Elroy

Tuesday, August 24, 2010


Wageni waliofika kujionea Bweni lililojengwa kwa kutumia mabaki ya magogo ya mbao maarufu 'mabanzi' wengi wao kutoka Marekani.
Wageni hawa pamoja na mambo mengine,walifika kujionea bweni hilo pia kushuhudia uzinduzi wa bweni la heshima la utu lililojengwa kwa ufadhili wa fedha zao ili kuwaokoa wanafunzi waliokuwa wakilala kwenye bweni hilo la mateso makubwa.

No comments:

Post a Comment